Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Maktaba ya Picha

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa ahudhuria Mkutano wa 41 wa ICAO Nchini Kanada
Naibu Waziri wa Uchukuzi Atupele Mwakibete na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini wakutana na kuzungumza na madereva wa Serikali na Wabunge jijini Dodoma.
Katibu Mkuu-Uchukuzi wa Tanzania Gabriel Migire na Katibu Mkuu wa Uchukuzi na Lojistiki Zambia Fredrick Mwalusaka waongoza kikao cha Kujadili changamoto za Usafirishaji kilichofanyika Tunduma/Nakonde mkoani Songwe.
Katibu Mkuu Uchukuzi, Gabriel Migire akutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Wilaya ya Momba Mkoani Songwe
Kamati ya Kitaifa ya Uendelezaji wa Mji wa Kibiashara wa Kwala inayoongozwa na Katibu Mkuu OR TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe yatembelea mradi wa Ujenzi wa barabara ya Kwala/Vigwaza Kibaha - Pwani.
Naibu Waziri wa Uchukuzi Atupele Mwakibete azindua rasmi programu ya ukaguzi wa barabara