Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Maktaba ya Picha

Katibu Mkuu-Uchukuzi, aongoza kikao kilichowakutanisha Tanzania na DRC kilichofanyika Mkoani Kigoma 16/6/2022
Katibu Mkuu-Uchukuzi, Gabriel Migire akagua maendeleo ya mradi wa SGR sehemu ya Makutupora-Tabora 15/6/2022
Mawaziri wa Tanzania, Burundi na DRC wasaini ripoti ya Wataalam ya mradi wa SGR mjini Kinshasa.
Tanzania na Marekani zasaini Mkataba wa BASA jijini Dar es Salaam 10/6/2022
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yakagua miradi ya barabara mkoani Njombe.
Naibu Katibu Mkuu-Uchukuzi, Dkt. Ally Possi atembelea stesheni ya Reli ya Kati Mpanda Mkoani Katavi.